Swali: Ni upi mpaka wa mahusiano kati ya yule mchumba (خاطب) na mchumbiwaji (مخطوبة)? Je, inafaa kwake kuwa naye faragha na kwenda nae?
Jibu: Hapana, haijuzu. Isipokuwa ikiwa kama atafunga naye ndoa. Hatakiwi kuwa naye faragha. Akitaka kutazama yale yatayomvutia kwa ajili ya kumposa; basi hayo yanatakiwa kufanywa mbele ya walii wake. Haifai kwake kuwa naye faragha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 10/02/2018
Swali: Ni upi mpaka wa mahusiano kati ya yule mchumba (خاطب) na mchumbiwaji (مخطوبة)? Je, inafaa kwake kuwa naye faragha na kwenda nae?
Jibu: Hapana, haijuzu. Isipokuwa ikiwa kama atafunga naye ndoa. Hatakiwi kuwa naye faragha. Akitaka kutazama yale yatayomvutia kwa ajili ya kumposa; basi hayo yanatakiwa kufanywa mbele ya walii wake. Haifai kwake kuwa naye faragha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 10/02/2018
https://firqatunnajia.com/mahusiano-kati-ya-mchumba-na-mchumbiwaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)